Ajira Mpya 33,212 Utumishi 10000 Walimu

Ajira Mpya 33,212 Utumishi 10000 Walimu 2025-2026 PDF

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Ajira Mpya 33,212 Utumishi 10000 Walimu. Rais Samia Suluhu Hassan jana ametoa kibali cha ajira kwa nafasi 33,212 za mwaka wa fedha unaoisha 2024/25 huku kada ya walimu ikipangiwa kupata nafasi 10,000 ambazo hazitafanyiwa usaili watachukuliwa kwenye database.

Akihitimisha leo jioni hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Mwaka 2025/26 bungeni, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema “Katika kada ya walimu tutakwenda kwenye kanzidata tuendelee kupakua waliosalia ili kuhakikisha tunawamaliza, sio rahisi kuwamaliza maana waliofaulu wanaosubiri kupangiwa bado ni wengi.”

Sikiliza video nzima hapa ya hotuba hapa.
Ajira Mpya 33,212 Utumishi 10000 Walimu
 
Last edited:
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom