Beki Simba sports club Afunga Ndoa

Beki Simba sports club Afunga Ndoa

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Beki wa Klabu ya Simba sports club, Valentine Nouma hapo juzi aliaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu akiwa kwao Nchini Burkina Faso.
FB_IMG_1735475282600.webp

Nouma alipata nafasi ya kusafiri kutoka Tanzania mpaka nchini Kwa Bukina Faso huku akiwa amepata baraka zote kutoka Kwa coach wake Fadlu Devi's huku akiwaacha wachezaji wenzake wa Simba sports club wakijiandaa na safari ya kwenda Singida kucheza na Singida black star, Mchezo uliopigwa hapo Jana majira ya saa kumi na Simbasc kuibuka mshinda Kwa bao 1 Kwa 0 na kufanya timu hiyo ikamilishe Ratiba ya mzunguko wa kwanza ikiwa pale kileleni na alama zao 40.

Nouma anatarajiwa kuwasili nchini Jumanne ya Tarehe 31 December Mwaka huu 2024 Tayari Kwa maandalizi ya kusafiri kuelekea Nchini Tunisia kucheza Mchezo Wao wa round ya Nne kunako michuano ya shirikisho Africa Dhidi ya Cs Sfaxien.
 
Back
Top Bottom