Chuo cha Triple J Institute of Social Studies

Chuo cha Triple J Institute of Social Studies Ada, Sifa, Vigezo

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Triple J Institute of Social Studies ni chuo binafsi kilichopo Arusha, Tanzania. Kilianzishwa tarehe 20 Oktoba 2017 na kupata usajili kamili kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) tarehe 20 Oktoba 2020.
Chuo cha Triple J Institute of Social Studies

Chuo hiki kinatoa programu za Maendeleo ya Jamii katika ngazi za Cheti (NTA Level 4) na Diploma (NTA Level 5 na 6).

Mawasiliano:
  • Anwani: P.O. Box 16228, Arusha, Tanzania
  • Simu: +255 755 476 03
  • Barua pepe: [email protected]
Kwa sasa, chuo kina usajili kamili lakini bado hakijapata ithibati. NACTVET Wanafunzi wanaopenda kujiunga wanashauriwa kuwasiliana moja kwa moja na chuo kwa taarifa za hivi punde kuhusu hali ya ithibati, vigezo vya kujiunga, na kozi zinazotolewa.
 
Back
Top Bottom