DANIEL AMOAH NI MALI YA NAMUNGO FC.

DANIEL AMOAH NI MALI YA NAMUNGO FC.

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Namungo ‘The Southern Killers’ imethibitisha kumsajili aliyekuwa beki wa Azam Fc, Daniel Amoah raia wa Ghana kama mchezaji huru baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kuitumikia tangu alipoachana na Wanalambalamba hao mwishoni mwa msimu 2023/24.
-tpgb4j.webp
 
Back
Top Bottom