DANIEL AMOAH NI MALI YA NAMUNGO FC.

DANIEL AMOAH NI MALI YA NAMUNGO FC.

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Namungo ‘The Southern Killers’ imethibitisha kumsajili aliyekuwa beki wa Azam Fc, Daniel Amoah raia wa Ghana kama mchezaji huru baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kuitumikia tangu alipoachana na Wanalambalamba hao mwishoni mwa msimu 2023/24.
-tpgb4j.webp
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom