Dondoo za Uzazi

Dondoo za Uzazi

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

AnethCharlz

New member

Joined
Oct 27, 2024
Messages
1
Karibu katika jukwaa huru la wananchi,Leo tupate kidogo mwangaza juu ya Uzazi kwa njia ya upasuaji

Uzazi kwa njia upasuaji (operation) miaka hii umekuwa kwa Kasi sana yaani katika wazazi kumi unaweza kukuta nane ama Saba wamezaa kwa upasuaji
Mdau unadhani Nini ni sababu haswa inayopelekea uzazi wa njia hii?
Madhara yake kiafya yapoje?
Na Nini kifanyike kuzuia ama kupunguza kwa ASILIMIA kubwa uzazi wa njia hii?
 
Back
Top Bottom