EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta Kwa Mwezi Novemba 2024

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta Kwa Mwezi Novemba 2024 PPR/2024 - 11/01

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,648
Gift submitted a new resource:

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta Kwa Mwezi Novemba 2024 - EWURA imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Novemba 2024, zitakazotumika kuanzia tarehe 6

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Novemba 2024, zitakazotumika kuanzia tarehe 6 Novemba saa 6:01 usiku. Bei za mafuta ya petroli, dizeli, na mafuta ya taa zimepanda kutokana na mabadiliko ya bei za soko la kimataifa. Wafanyabiashara wanatakiwa kuuza kwa bei zilizowekwa na EWURA ili kuepuka hatua za kisheria.

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA)
imetangaza bei kikomo mpya za bidhaa za mafuta nchini...

Read more about this resource...
 
Back
Top Bottom