Fomu ya Maombi ya Kujiunga na VETA Ngazi ya Tatu

Fomu ya Maombi ya Kujiunga na VETA Ngazi ya Tatu 2025-2026 PDF

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,737
Hii hapa Fomu ya Maombi ya Kujiunga na VETA Ngazi ya Tatu andika majina ya vyuo vitatu(3) unavyopenda kwenda kusoma kuendana na fani uliyochagua.

Maelezo kuhusu fomu:
1. Fomu zitaanza kutolewa kuanzia tarehe 22/4/2025 na mwisho wa kuchukua na kurudisha Fomu nitarehe 20/6/2025
2. Matokeo ya waliochaguliwa yatatolewa tarehe 27 June , 2025 na yatabandikwa katika mbao zamatangazo vyuoni na pia yatawekwa kwenye tovuti ya VETA
3. Taja Chuo utakachorudisha fomu ya maombi

Pakua hapa fomu.
Fomu ya Maombi ya Kujiunga na VETA Ngazi ya Tatu
 
Back
Top Bottom