Fursa ya kubadilisha Tahasusi (Combination) na Kozi Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024

Fursa ya kubadilisha Tahasusi (Combination) na Kozi Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 Tamisemi

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi (Combination) au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yao ya baadaye. Utaratibu huo umeanza Machi 31 hadi Aprili 30 mwaka huu. Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi BONYEZA HAPA KUBADILI
Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi.webp
 
Last edited:
Back
Top Bottom