HESLB Kuongeza idadi wa Wanufaika Mkopo Elimu ya Juu

HESLB Kuongeza idadi wa Wanufaika Mkopo Elimu ya Juu 2025/2026 OLAMS-HESL

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,648
HESLB Kuongeza Idadi ya Wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu Mwaka 2025/2026

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza kuwa kwa mwaka wa masomo 2025/2026, serikali itaongeza idadi ya wanafunzi watakaonufaika na mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 245,314 mwaka 2024/2025 hadi kufikia 252,773.

Hatua hii ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha fursa zaidi za elimu ya juu zinapatikana kwa Watanzania wengi zaidi, hasa wale wenye uhitaji mkubwa wa kifedha.

Hii ni habari njema kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na wale wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu nchini.
HESLB Kuongeza idadi wa Wanufaika Mkopo Elimu ya Juu
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom