HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL LEO

HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL LEO Sekretarieti ya Ajir

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Waombaji kazi wote mliotuma maombi ya kazi za MDA’s & LGA’s na Taasisi nyingine. Mnatakiwa kuhuisha (update) taarifa katika akaunti zenu za ajira portal, kwa kuainisha mahali ulipo kwa sasa ili upangiwe kituo cha usaili karibu na eneo lako. Ili kuhuisha taarifa zako - nenda kwenye eneo la PERSONAL DETAILS, kisha rekebisha eneo la CURRENT RESIDENCE kwa kuandika Mkoa na Wilaya uliyopo kwa sasa.

HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom