HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL

HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL 17-07-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wasailiwa wote mlioitwa kwenye usaili utakaofanyika kwa njia ya mtandao (ONLINE) tarehe 28 - 29 Julai 2025, mnatakiwa kuhuisha (update) taarifa katika akaunti zenu za ajira portal, kwa kuainisha mahali ulipo kwa sasa ili upangiwe kituo cha usaili karibu na eneo lako.
HUISHA TAARIFA KWENYE AKAUNTI YAKO YA AJIRA PORTAL
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom