Jinsi ya kupata namba ya NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inapenda kuwataarifu wananchi wote kuwa huduma ya kupata Namba ya Kitambulisho cha Taifa (NIN), inaweza kufanyika kwa kutumia simu ya mkononi.
Kupata namba ya nida fanya hivi:
i. Piga *152*00#
ii. Chagua namba 3 (Ajira na Utambuzi)
iii. Chagua namba 2 (NIDA)
iv. Ingiza Majina yako matatu (3) uliyosajili (Mf. Daniel John Seleman)
v. Ingiza namba ya simu uliyotangaza kwenye fomu ya maombi (Mf. 0XXXXXXXX)
vi. Kubali.
Huduma hii kwa sasa inapatikana kwa watumiaji wa Airtel na Vodacom.
Kwa mawasiliano zaidi:
Piga simu: 0759 102010 / 0765 201020 / 0673 333444 / 0800758888
Barua pepe: [email protected]
Soma zadi hapa:
www.nida.go.tz
Kupata namba ya nida fanya hivi:
i. Piga *152*00#
ii. Chagua namba 3 (Ajira na Utambuzi)
iii. Chagua namba 2 (NIDA)
iv. Ingiza Majina yako matatu (3) uliyosajili (Mf. Daniel John Seleman)
v. Ingiza namba ya simu uliyotangaza kwenye fomu ya maombi (Mf. 0XXXXXXXX)
vi. Kubali.
Huduma hii kwa sasa inapatikana kwa watumiaji wa Airtel na Vodacom.
Kwa mawasiliano zaidi:
Piga simu: 0759 102010 / 0765 201020 / 0673 333444 / 0800758888
Barua pepe: [email protected]
Soma zadi hapa:
NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY | MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA TANZANIA

Mfumo wa Anwani za Makazi NAPA Tanzania
Mawasiliano
Namba ya huduma kwa wateja NIDA Tanzania
Call Center