Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi

Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi 7-5-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi. Jitihada za serikali katika kipindi hiki cha Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ajira mpya zilizokuwa zimejazwa ni takriban ajira 149,000, lakini ajira mbadala ambazo Rais Samia Suluhu Hassan alitoa kibali ni 39,963. Hivi juzi, Mheshimiwa Rais ametoa kibali cha ajira nyingine ambazo zinatakiwa zijazwe kabla ya kuisha kwa mwaka huu wa fedha, ajira 33,212. - Deus Sangu, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom