Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025

Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe.
FB_IMG_1735973141579.webp

Mchezo huo utapigwa January 04, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin mkapa Tanzania Mkoani Dar es salaam saa kumi kamili Alasiri.

Kuelekea mchezo huo, Wananchiforum itakuletea Kikosi Cha Young African's kinachoanza dhidi ya Tp Mazembe.
 
Back
Top Bottom