Hili hapa tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Polisi Tanzania Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE - RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.
Kwa wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa Road.
Angalia hapa orodha nzima.
drive.google.com
Kwa wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa Road.
Angalia hapa orodha nzima.
TANGAZO LA USAILI POLISI TANZANIA - wananchiforum.com 2025.pdf

Ajira Mpya 33,212 Utumishi 10000 Walimu
2025-2026 PDF
Nafasi za Kazi TANROADS Tanzania
24-04-2025
Last edited: