Kushindwa kuomba kazi ajira portal

Kushindwa kuomba kazi ajira portal

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Swaum Adam

New member

Joined
Dec 10, 2024
Messages
1
Habari, naomba msaada napata shida kutuma maombi ya kazi za Ardhi na Tanzania Petroleum Development, nikibonyeza apply ili nitume barua inasema niangalie kama degree ilotajwa ndo nilokuwa nayo. Na kigezo cha elimu kichowekwa ndo nilichonacho. Na ni kwa kazi zote mbili, mara nyingine nimekuwa nikituma maombi bila shida.
Ebu tuma screenshot inavyo andika please
 
Back
Top Bottom