MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA

MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA AJIRA PORTAL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, anawajulisha waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili kwa njia ya Mtandao (OATS) Mkoa wa Ruvuma kuwa kuna mabadiliko ya sehemu ya kufanyia usaili. Usaili utafanyika katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA - SONGEA badala ya Chuo cha Ualimu Songea kama ilivyoainishwa kwenye akaunti zenu za ajira portal. Aidha, Muda na tarehe unabaki kama ilivyokuwa kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA
 
Back
Top Bottom