MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA

MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA AJIRA PORTAL

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, anawajulisha waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili kwa njia ya Mtandao (OATS) Mkoa wa Ruvuma kuwa kuna mabadiliko ya sehemu ya kufanyia usaili. Usaili utafanyika katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA - SONGEA badala ya Chuo cha Ualimu Songea kama ilivyoainishwa kwenye akaunti zenu za ajira portal. Aidha, Muda na tarehe unabaki kama ilivyokuwa kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
MABADILIKO YA ENEO LA USAILI MKOA WA RUVUMA
 
Back
Top Bottom