Mabadiliko ya eneo la usaili wa vitendo Waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Mtakwimu II (Statistician II) ambayo mwajiri wake ni Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya eneo la usaili wa vitendo.
Usaili wa vitendo utafanyika tarehe 05.05.2025 katika Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) - Dar es Salaam badala ya Chuo cha Takwimu Mashariki Mwa Afrika (EASTC) kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo la awali.
Aidha,maelekezo mengine pamoja na ratiba ya usaili wa mahojiano itabaki kama ilivyo kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
Soma zaidi.
www.ajira.go.tz
Usaili wa vitendo utafanyika tarehe 05.05.2025 katika Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) - Dar es Salaam badala ya Chuo cha Takwimu Mashariki Mwa Afrika (EASTC) kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo la awali.
Aidha,maelekezo mengine pamoja na ratiba ya usaili wa mahojiano itabaki kama ilivyo kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
Soma zaidi.
News Update :: Public Service Recruitment Secretariat
Public Service Recruitment Secretariat / Ofisi ya Raisi katika Utumishi wa Umma

Nafasi za Kazi Bawe Island Zanzibar
1-05-2025
Walioitwa kwenye Usaili Air Tanzania
2-05-2025