MABADILIKO YA ENEO LA USAILI WA VITENDO KADA YA MTAKWIMU DARAJA II AJIRA PORTAL

MABADILIKO YA ENEO LA USAILI WA VITENDO KADA YA MTAKWIMU DARAJA II AJIRA PORTAL 2-05-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Mabadiliko ya eneo la usaili wa vitendo Waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Mtakwimu II (Statistician II) ambayo mwajiri wake ni Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya eneo la usaili wa vitendo.

Usaili wa vitendo utafanyika tarehe 05.05.2025 katika Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) - Dar es Salaam badala ya Chuo cha Takwimu Mashariki Mwa Afrika (EASTC) kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo la awali.

Aidha,maelekezo mengine pamoja na ratiba ya usaili wa mahojiano itabaki kama ilivyo kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.

Soma zaidi.
MABADILIKO YA ENEO LA USAILI WA VITENDO KADA YA MTAKWIMU DARAJA II AJIRA PORTAL
 
Back
Top Bottom