MABADILIKO YA RATIBA AU MAHAPI PA USAILI - 29 APRILI 2025

MABADILIKO YA RATIBA AU MAHAPI PA USAILI - 29 APRILI 2025 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wasailiwa mnaarifa kuwa, kuna mabadiliko ya ratiba au mahali pa usaili kwa kada zote za NECTA, baadhi ya kada za MDA’s & LGA’s pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili kama inavyoonekana hapa chini;-
  • Usaili wa vitendo na mahojiano kwa kada zote za NECTA umesogezwa mbele hadi tarehe 20 - 21 Mei 2025.
  • Usaili wa mahojiano kwa kada ya ‘Medical Officer II’ – Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) utafanyika tarehe 6 Mei, 2025.
  • Usaili wa Mahojiano kwa kada ya ‘Msaidizi wa Kumbukumbu II’ – MDA’s & LGA’s umesogezwa mbele hadi tarehe 18 Mei, 2025 na utafanyika katika Shule ya Sekondari Dodoma
  • Usaili wa mahojiano kwa kada ya ‘Afisa TEHAMA Msaidizi II’ – MDA’s & LGA’s utafanyika katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kwa tarehe zilizopo katika tangazo la kuitwa kwenye usaili.
Wasailiwa wote mnasisitizwa kuzingatia maelekezo yaliyopo kwenye tovuti ya www.ajira.go.tz na katika akaunti zenu za “Ajira Portal”
MABADILIKO YA RATIBA AU MAHAPI PA USAILI - 29 APRILI 2025
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom