Majina ya walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Uhamiaji 2025/2026

Majina ya walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Uhamiaji 2025/2026 e-Ajira Polisi

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hii hapa orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Uhamiaji 2025/2026, Interview ni kwa walioomba Ajira kupitia Mfumo wa e-Ajira wa Uhamiaji na waliopokea barua pepe na ujumbe wa simu kufika kwenye saili.
Majina ya walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Uhamiaji 2025/2026

Kumbuka, Waombaji walioombea Tanzania Bara wanatakiwa kufika katika Ukumbi wa Maktaba (Library) Ndaki ya Elimu (CoED) Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) tarehe 15 Januari, 2025 saa 1:00 asubuhi. Aidha, waombaji wa Zanzibar wanatakiwa kufika katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Hall uliopo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 15 Januari, 2025 saa 1:00 asubuhi.
 

Download PDF

Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom