- Views: 4K
- Replies: 2
Hii hapa orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili kada za Ualimu Mkoa wa Iringa, Kagera, Katavi, Kigoma 2025 kufanya interview yaliyo tangazwa muda huu kutoka ajira portal kupitia sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma.
Majina ya wasailiwa wa kada za ualimu watakaofanyia usaili mkoa wa iringa
kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: chuo kikuu kishiriki cha elimu mkwawa (MUCE)
kleruu teachers' college
ruaha catholic university (RUCU)
Usaili wa mahojiano utafanyika: jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa iringa
Shule ya sekondari ya rugambwa
Shule ya sekondari ya ihungo
Shule ya sekondari bukoba
Usaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari ihungo
Usaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari ya wasichana mpanda
Usaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari kigoma.
Bonyeza hapa kudownload PDF nzima
Majina ya wasailiwa wa kada za ualimu watakaofanyia usaili mkoa wa iringa
kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: chuo kikuu kishiriki cha elimu mkwawa (MUCE)
kleruu teachers' college
ruaha catholic university (RUCU)
Usaili wa mahojiano utafanyika: jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa iringa
Usaili mkoa wa kagera
Kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: chuo cha veta mkoa wa kagera-burugoShule ya sekondari ya rugambwa
Shule ya sekondari ya ihungo
Shule ya sekondari bukoba
Usaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari ihungo
Usaili mkoa wa katavi
Kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: shule ya sekondari ya wasichana mpandaUsaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari ya wasichana mpanda
Usaili mkoa wa kigoma
Kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: shule ya sekondari burongeUsaili wa mahojiano utafanyika: shule ya sekondari kigoma.
Bonyeza hapa kudownload PDF nzima