Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mikoa mbalimbali Kada za Ualimu 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mikoa mbalimbali Kada za Ualimu 2025 Ajira za Walimu

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mikoa mbalimbali Kada za Ualimu 2025 kutoka ajira portal katika ajira za walimu na vituo vya interview
Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mikoa mbalimbali Kada za Ualimu 2025

 
Last edited:
mim nida na cheti Cha kuzaliwa jina ni PHILIPO KAVUYU NZOTA, lkn kwenye vyeti vingine ni PHILIPO K NZOTA Kuna shida?
 
Nilikuw nauliza Kwa mfano chet Cha kuzaliwa jina la baba ni salim Juma hamisi alaf Mimi kweny vyeti vyangu ni mwajuama Salim hamisi .lile jina la kati nikawa sijalichukua nimechukua la mwisho kitakuwa na shido
 
Nilikuw nauliza Kwa mfano chet Cha kuzaliwa jina la baba ni salim Juma hamisi alaf Mimi kweny vyeti vyangu ni mwajuama Salim hamisi .lile jina la kati nikawa sijalichukua nimechukua la mwisho kitakuwa na shido
Ebu andika majina yote yanavyokuwa kwenye vyeti na kwenye cheti cha kuzaliwa na NIDA
 
Mimi sijapata ata notification kabisa Yani daaaah sijui shida nini. Sielewi kama nilichaguliwa au laa
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom