Matokeo ya Darasa la Nne Zanzibar 2024/2025

Matokeo ya Darasa la Nne Zanzibar 2024/2025 BMZ

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,737
Baraza la Mitihani la Zanzibar linapenda kuujulisha umma kuwa Matokeo ya Mitihani ya Taifa ya Darasa la Nne na Kidato Cha Pili ya Mwaka 2024 yametolewa na yatapatikana katika tovuti zifuatazo:
Matokeo ya Darasa la Nne Zanzibar 2024/2025

Aidha, kwa mzazi, Mwalimu au mwanafunzi ambaye hajaridhishwa na matokeo yaliyowasilishwa anatakiwa kufika ofisi za Baraza la Mitihani Vuga kwa Unguja na ofisi za Baraza zilizopo Chake Chake kwa upande wa Pemba kwa ajili ya kupata maelekezo na kujaza fomu ya malalamiko. Malalamiko hayo yawasilishwe ndani ya kipindi cha mwezi mmoja (1) kuanzia yalipotolewa matokeo.
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom