Matokeo ya Usaili wa Kuandika Jiji la Mbeya Mwalimu Daraja III B

Matokeo ya Usaili wa Kuandika Jiji la Mbeya Mwalimu Daraja III B 23-04-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la Matokeo ya Usaili wa Kuandika Jiji la Mbeya Mwalimu Daraja III B baada ya mtihani wa kuandika wasailiwa wote waliofaulu/waliochaguliwa wanatakiwa kuhudhuria usaili wa mahojiano ya ana kwa ana utakao fanyika kuanzia tarehe 26/04/2025 katika shule ya sekondari Luleza.

Pakua orodha nzima hapa.
Matokeo ya Usaili wa Kuandika Jiji la Mbeya Mwalimu Daraja III B
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom