MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO AIR TANZANIA

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO AIR TANZANIA 15-12-2025

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Kampuni ya Ndege Tanzania inapenda kuwataarifu wasailiwa wote waliofanya usaili wa mchujo tarehe 13 Disemba, 2025 katika kada za Afisa Mauzo na Masoko (Sales and Marketing Officer I) na Afisa Mauzo na Masoko (Sales and Marketing Officer II) kuwa matokeo ya usaili yametoka na kwamba usaili wa Mahojiano utafanyika tarehe 15 Disemba, 2025, Makao Makuu ya Kampuni ya Ndege Tanzania- ATC House - Posta kuanzia saa 2:00 asubuhi.

Pakua PDF hapo chini
MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO AIR TANZANIA.webp
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom