Mchezo Unaofuata Simba Ni Dhidi Ya Bravo do Maquis Kwenye TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

Mchezo Unaofuata Simba Ni Dhidi Ya Bravo do Maquis Kwenye TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Simba sports club itasafiri tena Kuwafuata bravo do Maquis nchini Angola katika michuano ya shirikisho barani Africa CAFCC.

Mchezo Huo ni Mchezo mhimu sana Kwa Mnyama Simba kwani endapo akashinda au kutoa sare itampa nafasi ya kufuzu Moja Kwa Moja Kwenye hatua ya robo fainali Africa CAFCC kwani mpaka Sasa imevuna alama Tisa sawa na Kimara wa kundi A Cs Constantine mwenye alama Tisa na yeye huku Kila mmoja amecheza michezo minne, bravo do Maquis anafuatia nafasi ya tatu na alama Sita Endapo atashinda mbele ya Simba sports club basi atamfikia Simba mwenye alama Tisa na kufanya Simba ipige Hesabu ndefu Zaidi Ili ifuzu robo fainali Africa CAFCC.
FB_IMG_1736176465326.webp
 
Back
Top Bottom