Mfumo wa Maombi ya Vyuo Udahili wa Pamoja (CAS) 2025

Mfumo wa Maombi ya Vyuo Udahili wa Pamoja (CAS) 2025 NACTVET

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Huu hapa Mfumo wa Maombi ya Vyuo Udahili wa Pamoja (CAS) 2025 Tangazo la Kujiunga na Vyuo vya Afya na Sayansi Shirikishi kwa Mwaka wa Masomo 2025/2026 Mwisho wa Kutuma Maombi ya Mzunguko wa Kwanza: Tarehe 11/07/2025.

Mambo Muhimu ya Kuzingatia:
  1. Hakikisha unatumia barua pepe (email) inayofanya kazi na namba ya simu ambayo inatumika.
  2. Chagua kozi unayoipendelea kulingana na sifa zako.
  3. Unaweza kuchagua hadi vyuo/programu 12 kwa wakati mmoja.
  4. Ada ya maombi ni Tsh 15,000 kwa chuo kimoja na ukomo ni Tsh 45,000 kwa vyuo/programu zote (ada haitarudishwa).
  5. Utapewa namba ya malipo (Control Number) baada ya kujaza maombi.
  6. Malipo yanaweza kufanyika kwa Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel Money au benki.
  7. Kabla hujachagua kozi yoyote, soma Mwongozo wa Uandikishaji kujua sifa zinazohitajika kwa kila programu.
Tuma maombi hapa
Mfumo wa Maombi ya Vyuo Udahili wa Pamoja (CAS) 2025
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom