Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi

Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi TPSC

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,648
Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), kinawatangazia watumishi wote wa Umma wanaotarajia kufanya mitihani ya Utumishi wa Umma kwa mwezi Agosti, 2025 kuwa kozi ya mapitio ya mitihani itafanyika kuanzia tarehe 4 hadi 22 Agosti, 2025 kwa watahiniwa watakaohudhuria kwa njia ya ana kwa ana na kwa upande wa mapitio kwa njia ya mtandao yataanza tarehe 8 Julai hadi 15 Agosti, 2025 na kufuatiwa na mitihani itakayofanyika kuanzia arehe 25 hadi 29 Agosti, 2025 katika vituo vyote vya Dar es Salaam, Tabora, Mtwara, Singida, Tanga, Mbeya na Dodoma.

Pakua PDF zote.
Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi
 
Back
Top Bottom