Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi

Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi TPSC

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,737
Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), kinawatangazia watumishi wote wa Umma wanaotarajia kufanya mitihani ya Utumishi wa Umma kwa mwezi Agosti, 2025 kuwa kozi ya mapitio ya mitihani itafanyika kuanzia tarehe 4 hadi 22 Agosti, 2025 kwa watahiniwa watakaohudhuria kwa njia ya ana kwa ana na kwa upande wa mapitio kwa njia ya mtandao yataanza tarehe 8 Julai hadi 15 Agosti, 2025 na kufuatiwa na mitihani itakayofanyika kuanzia arehe 25 hadi 29 Agosti, 2025 katika vituo vyote vya Dar es Salaam, Tabora, Mtwara, Singida, Tanga, Mbeya na Dodoma.

Pakua PDF zote.
Mitihani ya Watumishi wa Umma August 2025 Chuo cha Utumishi
 
Back
Top Bottom