MSAADA NAMNA YA KUINGIA KWENYE ACCOUNT KWENYE PORTAL YA UHAMIAJI

MSAADA NAMNA YA KUINGIA KWENYE ACCOUNT KWENYE PORTAL YA UHAMIAJI

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Yovina daniel

Member

Reputation: 7%
Joined
Dec 4, 2024
Messages
58
Habari, Naomba msaada namna ya kuingia kwenye portal ya Uhamiaji ikiwa nilifungua account na nikasahau neno la siri na sikufika kwenye hatua ya kuthibitisha Email . Na nilipo jaribu kuwatafuta juu ya hili mwanzo waliniambia kwamba account yangu tayari ilikua imepewa namba ya Msimbo kwa Email yangu ivyo niende sehem ya forget password ili niweze kurest password, lakini niliwa waelekeza ilo wakaniambia niwatafute tena kwa Email yao ambapo adi leo sijapata jibu juu ya hilo
 
Back
Top Bottom