Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A Baada Ya Mchezo Wa Jana Mc Alger 1 Vs 0 Tp Mazembe TotalEnergies CAFCL

Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A Baada Ya Mchezo Wa Jana Mc Alger 1 Vs 0 Tp Mazembe TotalEnergies CAFCL 2024/2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Huu hapa msimamo wa kundi A analoshiriki Yanga ya Tanzania Kwenye Michuano ya Kombe la Klabu Bingwa Africa Ngazi ya Makundi.
20250111_065153.webp

Yanga inahitaji kushinda Kwenye Mchezo Wao Dhidi ya Al Hilal Omdurman Ya Sudan ugenini ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata robo fainali.
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom