Mwongozo, Sifa, Vigezo, Ada Kujiunga na Vyuo vya Cheti na Diploma Tanzania kupitia NACTVET 2025 NTA Institutions Guidebook 2025/2026. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) Mwongozo wa Kujiunga na Vyuo vya Ufundi kwa Mwaka wa Masomo 2025/2026 Programu za Cheti na Diploma Zinazotolewa na Vyuo vya Ufundi.
Mwongozo huu umetayarishwa ili kuwasaidia waombaji wanaotaka kujiunga na programu mbalimbali za Astashahada (Certificate) na Diploma zinazotolewa na vyuo vya kati vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
Ndani ya kitabu hiki, utapata taarifa muhimu zikiwemo:
Pakua PDF hapa.
Mwongozo huu umetayarishwa ili kuwasaidia waombaji wanaotaka kujiunga na programu mbalimbali za Astashahada (Certificate) na Diploma zinazotolewa na vyuo vya kati vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
Ndani ya kitabu hiki, utapata taarifa muhimu zikiwemo:
- Orodha ya vyuo vinavyotoa mafunzo ya ufundi na kozi zao
- Sifa za kujiunga kwa kila kozi/programu
- Maelekezo ya namna ya kutuma maombi
- Vigezo vya kuchagua kozi na taasisi kulingana na ufaulu wako
- Taarifa za mawasiliano ya vyuo na vituo vya msaada
Pakua PDF hapa.
NTA Institutions Guidebook 2025/2026 NACTVET
Mwongozo, Sifa, Ada
Last edited: