Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA)

Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA) Nafasi za Kazi 2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (ELCT). Chuo hiki kipo Usa-River, kilomita 16 kutoka Jiji la Arusha, kando ya barabara ya Arusha - Moshi. Kwa maono yake ya kuwa taasisi ya elimu ya juu inayozingatia maadili ya Kikristo kwa ubora na matumaini, TUMA inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na ujuzi wa kutosha kujaza nafasi zifuatazo za ajira chuoni hapo.
Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA)


Bonyeza hapo chini kupakua PDF.
 

Attachments

Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom