Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA)

Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA) Nafasi za Kazi 2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (ELCT). Chuo hiki kipo Usa-River, kilomita 16 kutoka Jiji la Arusha, kando ya barabara ya Arusha - Moshi. Kwa maono yake ya kuwa taasisi ya elimu ya juu inayozingatia maadili ya Kikristo kwa ubora na matumaini, TUMA inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na ujuzi wa kutosha kujaza nafasi zifuatazo za ajira chuoni hapo.
Nafasi 24 za Ajira Mpya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (TUMA)


Bonyeza hapo chini kupakua PDF.
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom