Nafasi za kazi 10 Manispaa ya Kahama December 2024

Nafasi za kazi 10 Manispaa ya Kahama December 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,737
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama anapenda kuwatangazia Wananchi wote wenye sifa, nafasi ya Ajira ya Mkataba kwa kada za Afya ikiwemo:
  • Madaktari wa Binadamu (Medical Doctor): nafasi (7),
  • Mteknolojia wa Radiolojia na Mionzi: nafasi mbili (2),
  • Dobi: nafasi (1).
Nafasi za kazi 10 Manispaa ya Kahama December 2024.webp

MAMBO YA JUMLA YA KUZINGATIA
I. Awe na umri wa miaka 18-45 (Ambatanisha cheti cha kuzaliwa).
II. Waombaji waambatishe vivuli vya Vyeti vyao vya Elimu na taaluma pamoja na maelezo binafsi (CV).
III. Katika barua ya maombi, weka Namba yako ya simu inayopatikana muda wote.
IV. Barua zibandikwe picha mbili (2) - Passport size.
V. Waombaji watakaokidhi sifa na vigezo watajulishwa tarehe ya usaili.
VI. Mwisho wa kupokea maombi ni 21 Desemba, 2024 saa 9:30 alasiri.
VII. Maombi yote yatumwe kwa Anuani ifuatayo:

Mkurugenzi wa Manispaa,
Barabara ya Boma,
S.L.P 472,
KAHAMA.
 

Download PDF

Last edited:
Back
Top Bottom