Nafasi za kazi Mgodi wa Barrick Gold Corporation December 2024

Nafasi za kazi Mgodi wa Barrick Gold Corporation December 2024

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,648
Mgodi wa Dhahabu wa North Mara (unamilikiwa na Barrick Gold Corporation) upo wilayani Tarime, mkoa wa Mara, kaskazini magharibi mwa Tanzania. Mgodi huu uko karibu, kama kilomita 20 kutoka mpaka wa Kenya na kilomita 100 mashariki ya Ziwa Victoria.

Barrick North Mara ilianza uzalishaji wa dhahabu mwaka 2002. Mgodi huu unachimba dhahabu kwa njia mbili: uchimbaji wa wazi (Nyabirama) na uchimbaji wa chini ya ardhi (Gokona). Kiwanda cha kuchakata mawe kina uwezo wa kushughulikia takribani tani 8,000 za mawe ya madini kila siku.

Ajira zilizo tangazwa Mgodi wa Barrick​

Nafasi za kazi Mgodi wa Barrick Gold Corporation December 2024


Bonyeza hapa kutuma maombi sasa
 
Back
Top Bottom