Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi EFTA Tanzania kwa Watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi katika ajira mpya hizi zilizotangazwa siku ya leo tarehe 14/05/2025. kwa sasa ni taasisi ya kipekee hapa Tanzania inayotoa huduma za dhamana ya mikopo kwa wanaojihusisha na kilimo biashara. Inafanya kazi chini ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), na inashirikiana na taasisi mbalimbali za kifedha nchini. Lengo lao kubwa ni kuwasaidia watu wanaojihusisha na mnyororo wa thamani wa kilimo kwa kuwajengea uwezo na kuwawezesha kupata mikopo kwa urahisi.
Tuma maombi hapa.
pass.or.tz
Tuma maombi hapa.
Our Current Vacancies Intern – Business Development (6) View Post Apply Now Application Deadline – 08/03/2026
Nafasi za Kazi SIHOTECH Tanzania
14-05-2025
Nafasi za Kazi CCBRT Tanzania
14-05-2025
Last edited by a moderator: