Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi PASS Trust Tanzania kwa sasa ni taasisi ya kipekee hapa Tanzania inayotoa huduma za dhamana ya mikopo kwa wanaojihusisha na kilimo biashara. Inafanya kazi chini ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), na inashirikiana na taasisi mbalimbali za kifedha nchini. Lengo lao kubwa ni kuwasaidia watu wanaojihusisha na mnyororo wa thamani wa kilimo kwa kuwajengea uwezo na kuwawezesha kupata mikopo kwa urahisi.
Tuma maombi hapa.
pass.or.tz
Tuma maombi hapa.

Our Current Vacancies Legal Manager and Company Secretary View Post Apply Now Business Development Manager View Post Apply Now Senior Officer – Risk and Compliance View Post Apply Now Officer – Information and Communication Technology View Post Apply Now Application Deadline – 25/04/2025

Nafasi za Kazi Moyo Mzuri Zanzibar
20-04-2025
Nafasi za Kazi Unitrans Tanzania
21-04-2025