Nafasi za Kazi Shule ya Sekondari St Peter’s

Nafasi za Kazi Shule ya Sekondari St Peter’s Januari 2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Uongozi wa Shule ya Sekondari St. Peter’s unapenda kuwatangazia wananchi wote nafasi ya kazi ya ualimu katika masomo yafuatayo;
Nafasi za Kazi Shule ya Sekondari St Peter’s

1. Mwalimu masomo ya Basic Mathematics na Physics – Nafasi 1
2. Mwalimu masomo ya Chemistry na Biology / Chemistry na Mathematics – Nafasi 1
3. Mwalimu masomo ya History na Kiswahili – Nafasi 1
4. Mwalimu masomo ya Geography na English Language – Nafasi 1
 

Download PDF

Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom