Nafasi za kazi TGFA

Nafasi za kazi TGFA Ajira mpya 2

  • Thread starter Thread starter Gift
  • Start date Start date
  • Featured
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) ulianzishwa chini ya Sheria ya Wakala za Serikali Na. 30 ya mwaka 1997 (iliyorekebishwa) na kuanza rasmi tarehe 17 Mei, 2002 kupitia Tangazo la Serikali Na. 193 lililochapishwa siku hiyo hiyo. TGFA ilichukua majukumu ya Kitengo cha Ndege za Serikali kilichokuwa chini ya Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi (ambayo sasa ni Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi) kwa lengo la kutoa huduma za usafiri wa anga kwa serikali kwa ufanisi zaidi, gharama nafuu, na mtindo wa kibiashara. Mwaka 2018, wakala huu ulihamishiwa kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwenda Ofisi ya Rais, Ikulu kupitia Tangazo la Serikali Na. 252.
Nafasi za kazi TGFA

Zimetangazwa ajira mpya 2 Ajira portal
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom