Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi JWTZ Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania.
Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ
15-04-2026