Hii hapa Orodha ya Majina Waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi 2025 yaliyotangazwa siku ya leo Vijana waliofanyiwa usaili Mikoa ya Tanzania Bara wanatakiwa kuripoti kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa waliofanyia usaili tarehe 11/06/2025 saa 2.00 asubuhi kwa ajili ya kupewa utaratibu wa safari ya kwenda Shule ya Polisi Moshi.
Pia, vijana waliofanyia usaili Zanzibar (Unguja na Pemba) wanatakiwa waripoti Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani) tarehe 11/06/2025 saa 2.00 asubuhi kwa ajili ya kupangiwa utaratibu wa safari.
Angalia waliochaguliwa polisi hapa PDF.
Soma maelezo hapa kupitia tovuti husika.
Pia, vijana waliofanyia usaili Zanzibar (Unguja na Pemba) wanatakiwa waripoti Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani) tarehe 11/06/2025 saa 2.00 asubuhi kwa ajili ya kupangiwa utaratibu wa safari.
Angalia waliochaguliwa polisi hapa PDF.
Soma maelezo hapa kupitia tovuti husika.
Haya hapa Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Polisi Tanzania 2025
Walioitwa Polisi Tan
Nafasi za Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama
04-05-2025