Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Semina Ajira za INEC 2024

Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Semina Ajira za INEC 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,745
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Semina Ajira za INEC 2024. Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Moshi Vijijini na Jimbo la Vunjo anawatangazia wale wote waliofaulu usaili wa waandikishaji wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki (BVR) kama walivyotangaziwa kwenye tangazo la orodha ya waliofaulu usaili la tarehe 25/11/2024 kuwa semina kwa ajili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa ngazi ya kata itafanyika kwa siku mbili tarehe 8 – 9 Desemba, 2024 katika kumbi za Shule ya Sekondari Weruweru na Chuo cha Ualimu Marangu kuanzia saa 1:00 asubuhi ukiwa na kitambulisho kinachokutambulisha.
Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Semina Ajira za INEC 2024

Rejea jedwali lifuatalo kwa ufanunuzi wa kumbi za semina.
INEC waita watu kwenye Semina
 

Download PDF

Back
Top Bottom