Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho ni kidogo kuliko nafasi walizotengeneza.
FB_IMG_1736150057249.webp


Ramovic, aliyepata ushindi wa kwanza CAF akiwa kocha wa Yanga, alisema kuimarika kwa wachezaji wakishika haraka na vizuri falsafa alizowapa zinampa imani wanaweza kushinda mbele ya Al Hilal wikiendi hii ugenini, kisha kurudi nyumbani kuifumua MC Alger Januari 18.

“Ni matokeo yaliyotupa imani kuwa, bado tunaweza kufanya kitu kufikia lengo la kutinga robo fainali, hii ilikuwa mechi kubwa tumeiamua kwa nguvu kubwa ya ubora wetu,” alisema Ramovic na kuongeza

“Tunahitaji kuendeleza matokeo kama haya katika mechi mbili zinazofuata, nafurahi namna wachezaji wanavyoendelea kuimarika, tunacheza mpira tunaotaka tuucheze kwa kumnyima mpinzani nafasi ya kupumua.”
.
Tunawaheshimu sana wapinzani wetu (Mazembe) lakini tulistahili ushindi mkubwa zaidi tungeweza kufunga mabao matano hadi sita kama tungeongeza umakini.“
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom