Hizi hapa Sifa za Kujiunga na Chuo cha Ualimu Bunda Vigezo, Ada pamoja na gharama. Chuo kipo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Chuo hiki hutoa maarifa na ujuzi ambacho huandaa Walimu kutoa huduma kwa Wanafunzi.
Uongozi wa chuo unafurahi kukuarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na kozi ya Astashahada ya Ualimu Elimu ya Awali, Astashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi na Stashahada ya Ualimu Elimu ya Sekondari katika chuo cha Ualimu Bunda. Mafunzo haya yatachukuwa muda wa miaka miwili kwa kila kozi.
Ada ya chuo cha bunda mafunzo ni TSH 450,000/= kwa mwaka. Unaweza kulipa Tsh. 225,000/= kwa muhula kwa kutumia Control number inayopatikana ofisi ya Mhasibu wa chuo.
Kozi zinazotolewa
1. Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya jamii na lugha ya kiswahili (kwa kutumia lugha ya kiswahili).Sifa za kujiunga
1. Cheti cha Juu cha Elimu ya Sekondari (ACSEE) Alama za chini zinazohitajika: 17Uongozi wa chuo unafurahi kukuarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na kozi ya Astashahada ya Ualimu Elimu ya Awali, Astashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi na Stashahada ya Ualimu Elimu ya Sekondari katika chuo cha Ualimu Bunda. Mafunzo haya yatachukuwa muda wa miaka miwili kwa kila kozi.
Ada ya chuo cha bunda mafunzo ni TSH 450,000/= kwa mwaka. Unaweza kulipa Tsh. 225,000/= kwa muhula kwa kutumia Control number inayopatikana ofisi ya Mhasibu wa chuo.
Mwongozo, Sifa, Vigezo, Ada Kujiunga na Vyuo Vikuu Cheti na Diploma Tanzania
Universities Guidebo
Last edited: