Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni.
FB_IMG_1735973141579.webp



Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp Mazembe

Chama anaendelea na matibabu ya jeraha lake la mkono huku Yao akiendelea na matibabu ya jeraha lake la goti.
FB_IMG_1735973262438.webp
 
Back
Top Bottom