Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kikosi cha Simba Sports Club kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Tunisia tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika ๐—ง๐—ผ๐˜๐—ฎ๐—น๐—˜๐—ป๐—ฒ๐—ฟ๐—ด๐—ถ๐—ฒ๐˜€๐—–๐—”๐—™๐—–๐—– dhidi ya CS Sfaxien๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ utakaopigwa Jumapili Januari 5.

Mazoezi hayo yamefanyika katika Uwanja wa nje wa Olympique De R โ€“ Tunis ambao ndio utatumika kwa ajili ya mchezo huo siku ya Jumapili saa moja usiku kwa saa za Tanzania.
FB_IMG_1735853760339.webp

Wachezaji wote 22 waliosafiri kwa ajili ya mchezo huo wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo kwenye hali nzuri huku wakiendelea kuzoea hali ya hewa.

Akizungumzia hali ya kikosi tangu tulivyowasili Tunisia jana jioni, Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema "kila kitu kinaendelea vizuri na hali ya hewa sio baridi kali na haitakuwa kikwazo siku ya mchezo"

โ€œLeo tumeanza mazoezi kwa siku ya kwanza, tutaendelea kesho pamoja na Jumamosi kabla ya kushuka dimbani Jumapili"

โ€œMaandalizi kwa ujumla yanaendelea vizuri na jambo la kushukuru baridi sio kali kama tulivyoenda Algeria kwahiyo tunaamini tutakuwa na nafasi nzuri ya kupata matokeo chanya,โ€ amesema Ahmed
 
Back
Top Bottom