TAHADHARI: KUHUSU RUZUKU YA URAIS, SERIKALI INAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA HII AMBAYO IMETENGENEZWA NA WAHALIFU

TAHADHARI: KUHUSU RUZUKU YA URAIS, SERIKALI INAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA HII AMBAYO IMETENGENEZWA NA WAHALIFU

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,733
Wananchi mnatadharishwa kuwepo kwa mtandao wa kitapeli unaopatikana katika kiunganishi cha "grant-tanzania" ambao umeandikwa "RUZUKU YA URAIS Rais ameidhinisha kiasi cha ruzuku cha TZS100,000 kulipwa kwa wananchi wote. Nimepata yangu tu."

SERIKALI INAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA HII AMBAYO IMETENGENEZWA NA WAHALIFU.
TAHADHARI: KUHUSU RUZUKU YA URAIS, SERIKALI INAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA HII AMBAYO IMETENGENEZWA NA WAHALIFU

Aidha, wananchi mnaombwa kujiepusha kusambaza taarifa hii na kiunganishi hicho kwa kuwa kwa kufanya hivyo utakuwa umeshiriki uhalifu.

Hakuna ruzuku ya shilingi 100,000/- inayotolewa na Rais kwa wananchi wote.

Wahalifu waliotengeneza tangazo hili wanatafutwa ili hatua za kisheria zichukuliwe.
RUZUKU YA URAIS GRANT TANZANIA

Gerson Msigwa
Katibu Mkuu Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali
 
Back
Top Bottom