TANGAZO LA KUITWA KAZINI BUNGE LA TANZANIA 30-12-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI BUNGE LA TANZANIA 30-12-2025 AJIRA PORTAL

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la kuitwa kazini Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji kazi wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 20 - 23 Disemba, 2025 katika Ofisi za Bunge Dodoma. Hivyo, wahusika wanaarifiwa kwamba wanatakiwa kuripoti kazini Ofisi ya Bunge Dodoma ifikapo tarehe 05 Januari, 2026 kwa ajili ya kukamilisha taratibu za ajira zao na kupangiwa kazi.

Pakua hapo chini PDF.
TANGAZO LA KUITWA KAZINI BUNGE LA TANZANIA 30-12-2025
 

Download PDF

Back
Top Bottom