TANGAZO LA KUITWA KAZINI NAFASI ZA KUJITOLEA SHULE ZA MSINGI KADA YA ELIMU MRADI WA GPE - TSP

TANGAZO LA KUITWA KAZINI NAFASI ZA KUJITOLEA SHULE ZA MSINGI KADA YA ELIMU MRADI WA GPE - TSP Walimu Walioitwa kaz

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Ofisi ya Rais – TAMISEMI inapenda kuwataarifu waombaji wa nafasi za walimu wa kujitolea katika Shule za Msingi ambao walifanya maombi kati ya tarehe 17 – 30 Mei, 2025 kuwa majina ya waombaji waliokidhi vigezo yanapatikana katika tovuti: tamisemi.go.tz

Aidha, walimu waliokidhi vigezo, wanatakiwa kuripoti kwa Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizopo shule walizoomba kuanzia tarehe 18 hadi 31 Agosti, 2025 kwa ajili ya kujaza Mkataba wa Ajira ya Walimu wa Kujitolea na Mwajiri pamoja na kupatiwa barua za kupangwa kituo cha kazi. Tafadhali fika na Vyeti Halisi (Originals Certificates). Walimu ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi.
TANGAZO LA KUITWA KAZINI NAFASI ZA KUJITOLEA SHULE ZA MSINGI KADA YA ELIMU MRADI WA GPE - TSP

Pakua PDF hapa chini
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom